logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ogopa Mungu na umaskini pekee -Akothee

Aidha msanii huyo aiwashauri mashabiki wake wasali kwenye ndoa zao, kwani ndoa ni kitu muhimu.

image
na Radio Jambo

Habari05 February 2022 - 12:06

Muhtasari


  • Aidha msanii huyo aiwashauri mashabiki wake wasali kwenye ndoa zao, kwani ndoa ni kitu muhimu

Msanii na mjasirimali maarufu Esther Akoth almaarufu kama Akothee kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepakia picha yake ya zamani huku akiwahimiza mashabiki wake waogope Mungu.

Zaidi ya yote aliwashauri mashabiki wake waogope umaskini, Akothee anafahamika sana kwa bidii ya kazi yake.

Aidha msanii huyo aiwashauri mashabiki wake wasali kwenye ndoa zao, kwani ndoa ni kitu muhimu.

"Happy Sabbath! From My SDA family! 🤣🤣🤣Uwiiiii Ogopa Mungu na umaskini pekee 🤣🤣🤣Wengine wote ni Bure kabisa🤣🤣👋Marriage is sweet guys ,stay in your marriage," Aliandika Akothee.

Wiki hii msanii huyo amekuwa akigonga vichwa vya habari baada ya aliyekuwa mfanyakazi yake kuai kwamba amekataa kumlipa mshahara wa miezi 2.

Akothe alijitokeza na kuzungumzia madai hayo, na kueleza haswa nini kilitendeka kati ake na mfanyakazi huyo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved