Kijana mwenye umri wa miaka kati ya minne na tano, aliwashangaza wengi wakti alipokiri mapenzi yake kwa mwanawe msanii mashuhuri wa Tanzania, Diamond Platinumz, Tiffa Dangote.
Mwana huyo ambaye inaaminika ni wa kutoka nchini Tanzania, amepata umaarufu baada ya kanda yake kusambaa mitandaoni huku akikiri kuwa hamna mwanadada mwingine ambaye ameiteka roho yake hanga nyara ispokuwa Tiffah Dangote ambaye ni wa umri wa chini ya mwaka mmoja.
Alipoulizwa mbona Tiffah Dangote ndiye aliyeiteka roho yake nyara alijibu kwa ubabe, "Tiffah ana pesa". Do!.
Tizama kanda ifuatayo.
&feature=youtu.be
