logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO: Nilipata Vitu Vya Aibu Mvunguni Mwa Mke Wangu

PATANISHO: Nilipata Vitu Vya Aibu Mvunguni Mwa Mke Wangu

image
na

Burudani02 October 2020 - 14:24
patanisho
Wakati Godfrey mwenye umri wa miaka 30, alipoomba apatanishwe na mkewe mwenye umri wa miaka 23, hamna aliyetarajia yaliyotokea wakti wawili hao walipofichua yepi yaliyowatenganisha.

Wapendwa hao walio na watoto wawili, walikosana na kutengana miaka miwili iliyopita huku kila mmoja kuamua kuisha pekee yake, baada ya ndoa ya miaka minne.

"Tumekuwa tukijadiliana mara kwa mara lakini hatujawahi pata suluhu la ugomvi wetu." Alieleza bwana Godfrey.

"Mke wangu alipata kazi akaondoka nyumbani, tunatembeleana mara kwa mara. Nikimuomba msamaha hataki kunisamehe wala hasemi makosa yangu." Aliongeza Godfrey.

Kulingana na Mama Ivan wawili hawa walikosana miaka mitatu iliyopita lakini hakuwa amechukua vitu zake au mali yake.

"Jumapili iliyopita alikuja nyumbani na kuchukua vitu vyake vyote. Mwambie Radio Jambo ni yeye kwanini alipochukua mali hakuja kwa redio?" Alilalama Mama Ivan kabla ya bwana Godfrey kuongeza kuwa ashuku mkewe alipata bwana mwingine kwani ashawahi pata vitu vya aibu (mipira ya kondomu) ambazo za dhihirisha huenda ana jamaa mwingine.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved