logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hamilton aongoza Uingereza kama mwanaspoti tajiri zaidi -Sunday Times

Hamilton aongoza Uingereza kama mwanaspoti tajiri zaidi -Sunday Times

image
na

Burudani02 October 2020 - 09:17
Bingwa mara sita wa mashindano ya Formula One Lewis Hamilton anaongoza kama mwanaspoti tajiri zaidi Uingereza chini ya miaka 30 na zaidi akiwa na kima cha bilioni 29, taarifa ambazo zimechapishwa na jarida la Sunday Times.

Hamilton ambaye alitia mkataba mwingine na kampuni ya Mercdes mwaka 2018 hupokea kima cha biloni 5.2 kila mwaka, mshahara ambao uliongezeka na blioni 4.8 mwaka jana.

Mchezaji wa kimataifa wa Wales na klabu ya Real Madrid Gareth Bale ambaye hulipwa milioni 46 kila wiki baada ya kutozwa ushuru anasemekana ana kima cha hela bilioni 14.8 akiwa mchezaji wa pekee kutoka UK mwenye umri wa miaka 30 na ama chini mkwasi zaidi.

Takwimu hizo ambazo zimetolewa na jarida la Sunday Times linaangazia mishahara ya wachezaji walioa na miaka 30 ama chini yake.

Mwanamaswimbi Anthony Joshua alijipatia bilioni 10 kutokana na pigano lake la hivi karibuni na Andy Ruiz Jr na kumfanya kuwa na bilioni 14.

Kulingana na Sunday Times, wafuatao ndio wanaspoti tajiri wa miaka ama chini ya miaka 30.

1. Gareth Bale (football) 14.8 billion

2. Anthony Joshua (boxing) 14 billion

3. Paul Pogba (football) 6.5 billion

4= Kevin de Bruyne (football) 4.4 billion

4= David de Gea (football) 4.4 billion

6. Raheem Sterling (football) 3.7 billion

7. N’Golo Kante (football) 3.3 billion

8. Harry Kane (football) 3.1 billion

9. Daniel Sturridge (football) 2.9 billion

10. Jordan Henderson (football) 2.7 billion


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved