Hatua ya serikali ya kutaka ufafanuzi zaidi kuhusiana na hatua hiyo inajiri baada ya ligi zingine ulimwenguni kama Bundesliga,Premier League na Serie A zikipania kurejea wiki lijalo .
Uamuzi wa kusitishwa ligi kuu ya Ufaransa umetajwa kama wa kiupuzi na serikali na sasa wanataka washikadau katika ligi hiyo kufafanua ni kwa nini uamuzi uliafikiwa mapema.
“Like idiots” was the headline on the front of L’Equipe on Friday, as the sports daily questioned why such a hasty decision was made by the league (LFP) to end the season.taarifa ya serikali.
Hata hivyo wasimamizi wa ligi hiyo wamesema kuwa waliafikia kuchukuwa hatua hiyo baada ya waziri mkuu kuongezea makataa ya watu kutotangamana eneo moja ili kuzuiya maambukizi Aprili mwaka huu.