logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Pengine ni wakati wa kukutumia picha tupu,'Ujumbe wa Susan Kihika kwa CS Margaret Kobia

'Pengine ni wakati wa kukutumia picha tupu,'Ujumbe wa Susan Kihika kwa CS Margaret Kobia

image
na

Yanayojiri02 October 2020 - 07:47
Seneta wa kaunti ya Nakuru Susan Kihika amemkosoa katibu mkuu wa jinsia Profesa Margaret Kobia kwa usemi wake kuhusu kutimuliwa kwa gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru.

Ni cheche za maneno ambazo zimeibuka mitandaoni baina ya viongozi mbalimbali baada ya Waiguru kutimuliwa na wawakilishi wadi mnamo jana.

Licha ya hayo hakujua kuwa alikuwa amejiingiza kwenye moto, baada ya usemi wake.

“Wondering if a similar letter from 4 & I got lost in the mail? Could the Ministry of Gender not be aware that we are women too? Cess, perhaps it’s time for you & I to send Kobia our naked pics then she might stand up for us against the bully too." Aliandika Kihika.

Katika usemi wake Margaret alisema kuwa waliomtimua Waiguru hawakutambua mwanamke bomba wala kazi ambayo wanawake wanayoifanya.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved