logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mnatarajia mapacha? Msanii wa bendi ya Sauti Sol Polycarp ajibu

Mnatarajia mapacha? Msanii wa bendi ya Sauti Sol Polycarp ajibu

image
na

Burudani01 October 2020 - 10:33
Polycarp Otieno almaarufu Fancy Fingers anatarajia kuwa baba hivi karibuni, kupitia kwenye mitandao ya kijamii Polycarp aliposti video na kuandika ujumbe huu ufuatao.
"Wakati wa maajabu kama umesikiza na mtoto akipiga teke katika tumbo la mama yake ni maajabu makuu na wala si madogo, ndugu zangu @SAVARAFRICA AND @IAMCHIMANO mlijawa na mhemko najua lilikuwa jambo tamu sana 

Jambo ambalo ni la maana limekuja na covid-19 ni kuwa nime experience safari hiyo yote kila siku ya wiki, na nashukuru hivi karibuni atakuja."

Mama wa mapacha wawili na mtangazaji Grace Msalame alidokeza kuwa Polycarp na Mandi wanatarajia mapacha.

"IT REALLY IS MIRACULOUS ISN’T IT🤗♥️AND ALSO I’M SEEING TWO👶🏽👶🏽IS THERE SOMETHING YOU’RE NOT TELLING US🤗." Alisema Msalame.

Ni jambo ambalo Polycarp hakukana wala kukubali mbali alisema,

"Vizuri vizuri utafiti umefunguliwa."

Sauti sol inajiandaa kwa kuweka hafla ya tarabu kwa ajili ya kuzindua albamu yao ya 'Night train' itakayo fanyika tarehe 22, Agosti mwaka huu saa tatu usiku.

Huku akiwa kwenye mahojiano Sol alisema kuwa msanii mwenzao anatarajiwa kuwa baba tarehe hizo

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved