logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Gavana wa Tharaka Nithi Muthomi ajisalimisha kwa EACC

Gavana wa Tharaka Nithi Muthomi ajisalimisha kwa EACC

image
na

Burudani01 October 2020 - 09:40
njuki
Gavana wa kaunti ya Tharaka Nithi Muthomi Njuki mnamo jumatatu,7, Septemba amejisalimisha kwa kitengo cha EACC, alijisalimisha katika jumba la Intergrity anatarajiwa mahakamni kujibu mashtaka ya ufisadi.

Gavana huyo anatarajiwa kupeana mwelekeo kuhusu shillingi millioni 34.9 za zabuni ambazo hazijulikani vile zilivyotumiwa.

"Mradi huo ulikuwa umenunuliwa, kutekelezwa na kuagizwa bila tathmini za athari ya mazingira na kabla ya kupewa leseni na wizara ya mazingira ya taifa(NEMA)." Ilisoma habari ya DPP.

Mkewe Njuki ni iongoni mwa watu tisa ambao wanatarajiwa kujibu mashtaka.

Mengi yafuata;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved