"Niliitiwa kazi katika chuo kikuu cha Egerton niliporudi nyumbani nilipata amerudi kwao, nilipompigia simu aliniambia tunaweza kuwa marafikiHatujafanikiwa kupata mtoto kwa maana mke wangu ana shida ya kupata mtoto huwa anatumia dawa zakupanga uzazi yaani huwa anatumia dawa ya kienyeji
Nilienda kujipima ili kujua kama niko sawa, nilipachika mwanamke mwingine mimba ili nijue niko sawa." Alieleza Kigen.
Huku akieleza hali yake alisema kuwa hakuenda kwa daktari kwa maana anaogopa sindano, je huo ni uungwana?
Mkewe akizungumza alisema ya kwamba Kigen yuko na bibi tayari.
"Kigen mwenyewe ako na mke alipata baada yangu kuondoka, wacha aendelee na maisha yake mimi mwenyewe na mheshimu lakini mimi si mheshimuAlikuwa anaenda nje ya ndoa na hata kufanya ngono na mwanamke mwingine." Alieleza Sheila.
Huku bwana huyo akijitetea alisema kuwa anampenda mkewe wake pekeyake, bali mkewe alikana na kumwambia awache uongo.
"Nilikuambia unichue kama dada yako nami nikuchukue kama ndugu yangu, hakuna siku ambayo nitakuamini maishani mwangu sitaki kurudiana naye na sitaki mambo yake tena." Sheila aliongea.
Kwa mengi zaidi tembelea mtandao wetu wa youtube.
