logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Lulu Hassan awafurahisha mashabiki baada ya kupakia picha yake ya zamani Instagram

Lulu Hassan awafurahisha mashabiki baada ya kupakia picha yake ya zamani Instagram

image
na

Burudani01 October 2020 - 09:27
Mwanahabari wa runinga ya Citizen Lulu Hassan amewafurahisha mashabiki wake baada ya kupakia picha yake ya zamani kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Picha hiyo alikuwa katika shule ya upili, huku wengi wakitoa maoni yao tofauti,baada ya kuposti picha hiyo Lulu aliandika ujumbe mfupi unaosoma,

"Ohh!!Muda huyoyoma kwa haraka, kukua ni haraka." Aliandika Lulu.

Hii hapa baadhi ya hisia za mashabiki wake;

https://www.instagram.com/p/CFOnQY8Fetq/

Katisho kalikuwa high school pia😂

🤭 kumbe ulikuwa ule Dem mbona hujatack in

Time flies, Diana alipotea wapi?

Adulting is hard

😂😂🔥 innocent Loulou then

Sasa niko na moja ya TJA 😂😂😂😂. Tunazeeka

Watu wa group of schools same WhatsApp group😂


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoยฉ Radio Jambo 2024. All rights reserved