logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mama marehemu: Uavyaji mimba unavyowageuza wasichana kuwa mama bila watoto+Podi ya Yusuf Juma

Mama marehemu: Uavyaji mimba unavyowageuza wasichana kuwa mama bila watoto+Podi ya Yusuf Juma

image
na

Burudani01 October 2020 - 09:27
abortion
Ufichuzi wa msichana mmoja kwamba  ameavya mimba sita  umewagutusha wengi kwani ana umri wa miaka 24 pekee .alitoa mimba yake ya kwanza akiwa darasa la nane .

&t=11s

Katika Podi hii tunaangazia swala zima la wasichana kuavya mimba ,utumizi wa kinga ,na  watoto kuanza kushiriki ngono wakiwa na umri mdogo . Iwapo ulikosa kisa hicho basi kisome .

Ni ufichuzi ambao hata yeye unamshangaza kwa sababu wakati wanapofanya kitendo hicho ,haja huwa kuondoa mimba haraka anavyoweza   kwa sababu anasema hayuko tayari kumlea mtoto wala hajaolewa na hivyo basi hana uwezo wa kuanza kuwa mzazi . je,ilinzaje mpaka ikawa mtindo kwake kuanza kuavya mimba?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved