logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Pigo kwa Sportpesa tena kwani Milestone yapokonywa leseni

Kampuni hiyo imekumbwa na mzozo ambao umeizuia kurejelea oparesheni

image
na Radio Jambo

Burudani04 December 2020 - 13:11

Muhtasari


 

  • Kampuni hiyo imekumbwa na mzozo ambao umeizuia kurejelea oparesheni

 

 

Sportpesa  imepata poigo baada  ya Bodi  ya kusimamia michezo ya kubashiri  kuipokonya leseni  kampuni ya  Milestone Games Ltd.

 Hii ni baada ya  BCLB  kusema kwamba imefanya uchunguzi na kugundua kwamba  kampuni hyo ilibadilisha  orodha ya wakurugenzi  baada ya kupewa leseni kwa mwaka wa 2020-2021 .

 Bodi hiyo hiyo imesema orodha ya wakurugenzi iliyowasilishwa wakati wa kutaka maombi ilibadilishwa aada ya leseni kutolewa .

 

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved