logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Post wanao wewe acha ujinga,'Mashabiki wamwambia baba yake Diamond huku akijibu

Mama Dangote na mumewe Uncle shamte walipakia picha za Diamond akwa na mwanawe Naseeb Junior.

image
na Radio Jambo

Habari08 February 2021 - 10:57

Muhtasari


  • Baba yake Diamond ampa shabiki bonge la jibu baada ya kumwambia apakie wanawe mitandaoni

Siku moja baada ya kutenga muda kuwa na mwanawe aliyezaa na Hamisa, Dylan, staa wa Bongo Diamond Platnumz aliabiri ndege na kutua jijini Nairobi. 

Diamond ambaye alikuwa akiendeshwa na magari ya kifahari yaliyokuwa na ulinzi mkali, alichapisha video yake akifurahia kuwa na mwanawe Kenya. 

Mama Dangote na mumewe Uncle shamte walipakia picha za Diamond akwa na mwanawe Naseeb Junior.

 

Mmoja wa mashabiki wake Shamte alimwambia aweze kupakia wanawe na wala si wa wenyewe.

Shamte hakukimya alimpa boonge la jibu shabiki huyo.

"Post wanao wewe acha ujinga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น." Shabiki alimwambia Shamte.

Haya hapa majibu ya Uncle Shamte

"Nataka uumie kama hivi nikiposti wangu huumii,"


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoยฉ Radio Jambo 2024. All rights reserved