logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu wanadhani kwamba wananijua, lakini hawanijui-Huddah Monroe

Huddah alisema sababu ya kuwa na marafiki chache katika maisha yake ni kwa ajili ya kuwaambia ukweli katika maisha yao.

image
na Radio Jambo

Burudani21 February 2021 - 08:57

Muhtasari


  • Kulingana na Huddah katika maisha yake ya kawaida ana marafiki wengi kama vile anao kwenye mitandao ya kijamii
Huddah 1

Mwanasosholaiti na mwana biashara Huddah Monroe ameweka wazi kwamba watu ambao wanadhani wanamjua hawamjui.

Kulingana na Huddah katika maisha yake ya kawaida ana marafiki wengi kama vile anao kwenye mitandao ya kijamii.

Huddah alisema sababu ya kuwa na marafiki chache katika maisha yake ni kwa ajili ya kuwaambia ukweli katika maisha yao.

 

"Watu wanadhani  wananijua, ninaweza ishi na wewe kwa miaka 200, na hutawahi nijua, asilimia 90 vitu ambavyo na kuambia ni uongo

Labda itaenda kukusaidia na kukuza," Alisema Huddah.

Mwanabiashara huyo alifichua na kusema licha ya yake kuwapa watu ushauri na kuwasaidia kuna wale wamechukulia hilo kuwa unyonge wake,

"Huwa n shauri kila mtu nimetangamana naye, na kuwaambia ukweli hiyo ndio sababu nina marafiki wachache 

Ninasaidia watu sana mimi si mwenye tamaa,nikiona  uwezo wako nitakuambia na kukusaidia lakini sitatarajia kitu

Baadhi ya watu hao hufikiria kuchua faida yangu kwa maana niliwapa mawaidha,ushauri na kuwasaidia lakini kile hawajui huwezi shinda mwalimu wako

Nilikupa mwongozo na wala si kitabu chote,"


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved