logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Urembo hautoshi: Hizi hapa sifa zingine ambazo mwanamume huthamini kwa mwanamke

Urembo hautoshi, kwa maana kuna sifa ambazo wanaume ambao wamefungua macho.

image
na Radio Jambo

Habari26 February 2021 - 12:20

Muhtasari


  • Sifa ambazo wanaume uthamini kwa mwanamke,Hakuna furaha kuwa na mpenzi mzuri ambaye hana maadili

Hawakukosea waliposema kwamba uzuri bila maadili mema hauna maana. Hakuna furaha kuwa na mpenzi mzuri ambaye hana maadili.

Wanawake wengi wanafanyiwa upasuaji na hata kupidoa ili waweze kupendwa na wapenzi wao zaidi na zaidi kila siku.

Lakini kuna wale hawana maadili mema, bora wanajua tu ni warembo na wanawamaliza wanaume humu nje.

 

Urembo hautoshi, kwa maana kuna sifa ambazo wanaume ambao wamefungua macho.

Hizi hapa baadhi ambazo wanaume utafuta kwa mwanamke.

1. Kupika

kwa kweli wazungu walisema 'The way to a mans heart is through his stomach' kama kwa kweli wewe ni mrembo ilhali hujui kupika wala kumfurahisha mpenzi wako kupitia kwa chakula chako wewe si mrembo.

Pia wanaume waangalia kama mwanamke anajua kupika.

2.Heshima

Kama wewe huna heshima kwa wanaume haya basi utazidi kujipodoa na hutapata mwanamume au mpenzi wa maisha yako.

 

3.Dini

Kuna baadhi ya wanaume ambao wataangalia kama mwanamke ana mtumikia Mungu ipasavyo, na wala hatamchumbia wala kumuoa mtu ambaye hana heshima kwa Mungu wala hapendi mambo ya Mungu

4.Bidii

Karne hii ya sasa kila mwanamke anapaswa kuwa na bidii na wala sio kuamka na kukaa tu kwa nyumba anangoja pesa za mwanamume.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved