logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nikiwaambia mimi ni chopi achaneni na sisi,'Nadia Mukami afichua haya baada ya matokeo ya KCPE

Mwanafunzi wa kwanza alikuwa na alama 433, kutoka shule ya msingi ya Kari Mwailu.

image
na Radio Jambo

Burudani15 April 2021 - 20:29

Muhtasari


  • Mwanafunzi wa kwanza alikuwa na alama 433, kutoka shule ya msingi ya Kari Mwailu
  • Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Nadia alikuwa na haya ya kusema
Nadia-Mukami

Msanii Nadia MUkami anafahamika sana kwa ajili ya bidii yake kata kazi yake ya usanii, baada ya waziri wwa elimu kutangaza matokeo ya darasa la nane KCPE,Nadia alifichua kwamba shule ambayo iliongoza katika mtihani huo wa mwaka wa 2020 alikuwa anasomea hapo.

Mwanafunzi wa kwanza alikuwa na alama 433, kutoka shule ya msingi ya Kari Mwailu.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Nadia alikuwa na haya ya kusema;

"Mwanafunzi wa kwanza katika mtihani wa mwaka wa 2020, ni wa kutoka katika shule ambayo nilisomea nikiwa shule ya msingi, Kari Woiyee

nikiwaambia mimi ni chopi achaneni na sisi Ila hii shule tulipigwa sanaπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚na tulikula shida πŸ˜’," Aliandika Nadia.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki baada ya ujumbe wake msanii huyo;

nicki_bigfish: Na kumbuka niki tokea kwa gazeti na 447 kwa hii chuo

moseswekesa05: Where are you now?

gundilizzy: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nyinyi n chopi wewe ulipata ngap

silaw_sang: ambia raia mbona wewe hukufika 400 🎀🎀

katekonshens: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ahha sawa lookalikeπŸ˜‚πŸ˜‚


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved