logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+PICHA)Mchezaji wa zamani wa Harambee Stars mwendazake Zablon Amanaka azikwa

Kulingana na upasuaji wa mwili Zablon aliaga kutokana na ugonjwa wa moyo.

image
na Radio Jambo

Burudani12 June 2021 - 09:56

Muhtasari


  • Mchezaji wa zamani wa Harambee Stars Zablon Amanaka azikwa
  • Kulingana na upasuaji wa mwili Zablon aliaga kutokana na ugonjwa wa moyo

Hafla ya mazishi ya Mchezaji wa zamani wa timu ya kandanda ya Harambee Stars Zablon Amanaka inaendelea.

Mchezaji huyo aliaga dunia mnamo tarehe 28 Mei 2021, alipatikana nyumbani kwake akiwa amekata roho.

Kulingana na upasuaji wa mwili Zablon aliaga kutokana na ugonjwa wa moyo.

Zablon Amanaka ni mchezaji wa zamani wa Harambee stars, pia aliichezea Tusker AFC Leopard Sofapaka Thika united kati ya vilabu vingine.

Kutoka kwetu wanajambo Mungu ailaze roho yake mahali Pema peponi.

Hizi hapa baadhi ya picha za hafla hiyo;

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved