logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Niko na vipusa 3 na wote wanataka niwaoe-Barobaro alia

Swali kuu ni je kwanini wanaume wengi hawatosheki na mwanamke mmoja?

image
na Radio Jambo

Burudani16 July 2021 - 14:45

Muhtasari


  • Swali kuu ni je kwanini wanaume wengi hawatosheki na mwanamke mmoja?
  • Mwanamume mmoja nikiwa katika ziara zangu alinisimulia jinsi yuko na vipusa 3 na wote wanataka wamuoe
sad man

Katika uhusiano wa kimapenzi wengi wamepitia mateso na hata kuumizwa moyo, kuna wale huenda nje ya ndoa na pia wale huwacheza wapenzi wao na wake wengine.

Swali kuu ni je kwanini wanaume wengi hawatosheki na mwanamke mmoja?

Mwanamume mmoja nikiwa katika ziara zangu alinisimulia jinsi yuko na vipusa 3 na wote wanataka wamuoe.

"Nimekuwa nikiwachumbia vipusa watatu, ambapo wanajuana wote niliwatambulisha miezi kadhaa iliyopita

Mmoja wao ana mtoto wangu, lakini nataka kumuoa mmoja wao lakini wote wanataka niwaoe ilhali nataka tu mmoja ambaye ana mtoto wangu sijui nifanye aje na wote wawili hawanielewi

Tumekuwa pamoja kwa miaka 3 sasa nataka kuoa,"

Je mwanamume akiweza kumchumbia mwanamke mmoja anaweza fanya nini au kuna eza tokea nini?

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved