logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Niliachana na mpenzi wangu baada ya kuavya mimba yangu-Jamaa amwaya mtama

Nikiwa katika ziara zangu, baadhi ya watu na mashabiki walinielezea sababu ya kuachana na wapenzi wao

image
na Radio Jambo

Burudani17 August 2021 - 10:37

Muhtasari


  • Jamaa aeleza aliachana na mpenzi wake baada ya kuavya mimba yake
sad man

Je kwa nini uliachana na mpenzi wako wa awali au mke wako, nini haswa kilisababisha uhusiano wenu kuisha na kukamilika?

Nikiwa katika ziara zangu, baadhi ya watu na mashabiki walinielezea sababu ya kuachana na wapenzi wao licha ya upendo wao kunoga kila kuchao.

Mmoja wa mashabiki alieleza sababu kuu ya kuachana na mpenzi wake,na huu hapa usimulizi wake;

"Nilikuwa na mpenzi wangu amabye tulikuwa katika mahusiano kwa muda wa miaka 3, tulifanya tendo la ndoa mara kwwa mara tulipokutana

baada ya miaka 2 alibeba ujauzito wangu, licha yangu kumwambia aweke ujauzito wangu kwa maana nilikuwa natamani mtoto, aliniibia pesa zangu na akaenda kuavya mimba

Rafiki yake ndiye aliniharifu kile mwanamke huyo alikuwa amefanya, papo kwa hapo tuliachana kwa maana nilikuwa tayari kuchukua majukumu yote, na nilikuwa nimempenda sana," Alieleza Jamaa huyo.

Mwingine alikuwa na haya ya kusema;

"Mpenzi wanu alikuwa na ujauzito wa mwanamume mwingine, niliambia na rafiki yake na nikaamua kumuacha."

Byegon naye alisimulia kilichomtenganisha na mpenzi wake;

"Alama ziko zote za kimapenzi na za Vita juu nakumbuka akiniuma kwa kifua juu ya furaha tena za Vita ziko kwa miguu aliwahi nikata na chupa...... majeraha dooooh!!!"

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved