logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wamerudiana ila yeye ndiye 'sidechick'-Mange Kimambi adai Rayvanny na Fayvanny wamerudiana

Aidha amefichua kwamba hoteli ambayo msanii huyo alidai ni yake, sio yake bali ni ya Mkenya

image
na Radio Jambo

Patanisho03 November 2021 - 20:50

Muhtasari


  • Mange Kimambi adai Rayvanny na Fayvanny wamerudiana

Mwanaharakati wa Tanzania Mange Kimambi kupitia kwenye ukutasa wake wa instagram amefichua maisha ya mapenzi ya staa wa bongo Rayvanny.

Kulingana na Mange wawiili hao walikuwa kwenye hoteli, wakionyeshana mapenzi, na kudai kwamba Paula ndiye mpenziwe Rayvanny, na Fayvanny amekuwa mpango wa kando.

"Leo lunchtime walikuwa pamoja Havanna. Wakakaa VIP mabusu kama yote. Mapenzi kama yooote.mahaba kama yooote.

Kwa kifupi wamerudiana Ila Fayhma kapewa down grade from main to side chick. Yani yeye now ndo anafichwa Paula ndo main," Alisema Mange.

Aidha amefichua kwamba hoteli ambayo msanii huyo alidai ni yake, sio yake bali ni ya Mkenya, ambaye wanatumia jina lake kuikuza.

"By the way na hiyo Havana sio ya RayVanny ni ya Mkenya. Yeye analipwa ili watumie jina lake kuikuza. Hana hata share moja

WaKenya wana akili, wametujua watanzania watu wa Kiki so nao wanafungua biashara wanatugea vihela vidogo then wanatembea na kiki za wabongo 🤣🤣🤣🤣Msiniulize nimeitoa wapi? Mkiniuliza sana mpaka owner kamili wa Havanna ntamtaja kwa majina kamili.."

 

 

 

 

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved