logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hatimaye Hayati Mwai Kibaki azikwa nyumbani kwake Othaya

Mwili wa Kibaki ulizikwa karibu na kaburi la mkewe Mama Lucy Kibaki.

image
na Radio Jambo

Burudani30 April 2022 - 14:50

Muhtasari


  • Tukio la maziko lilikuwa la faragha; iliyohudhuriwa na familia na wageni wachache

Aliyekuwa Rais wa Kenya marehemu Mwai Kibaki amezikwa nyumbani kwake katika Eneo Bunge la Othaya, Kaunti ya Nyeri.

Tukio la maziko lilikuwa la faragha; iliyohudhuriwa na familia na wageni wachache.

Mwili wa Kibaki ulizikwa karibu na kaburi la mkewe Mama Lucy Kibaki.

Misa ya Mazishi ya Rais Mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki ilihudhiriwa na wakenya wa tabaka mbali mbali

Ibada hiyo iliongozwa na Kanisa Katoliki ambalo marehemu alikuwa mshirika.

Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya walihudhuria ibada hiyo

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved