logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wakenya waonywa kuhusu mvua zaidi

Wakenya wameaonywa kujiandaa kwa mvua kubwainayoweza kung’oa miti na kusababisha mafuriko

image
na Radio Jambo

Burudani25 April 2024 - 03:53

Muhtasari


•Wakenya wameaonywa kujiandaa kwa mvua kubwainayoweza kung’oa miti na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Mkurugenzi wa Mamlaka ya hali ya anga nchini Kenya David Gikungu amewaonya Wakenya kujiandaa kwa mvua kubwa ambayo inaweza kung’oa miti na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Bwana Gikungu pia alitoa ripoti iliyoonyesga viwango vya mvua katika maeneo tofauti mjini Nairobi.

Alisema baadhi ya maeneo yatapokea mvua kidogo hali ambayo anasema huenda ikasababisha maporomo ya ardhi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved