logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO: Tulikosana Na Mke Wangu Kwani Ana Tabia Za Kununa

PATANISHO: Tulikosana Na Mke Wangu Kwani Ana Tabia Za Kununa

image
na

Dakia-udaku01 October 2020 - 18:58
Sylvia kutoka maeneo ya Kitui alituma ujumbe akiomba apatanishwe na mumewe.

Kulingana na mwanadada huyo, wawili hao walikosana wakti wa uchaguzi wakti ambapo mumewe alimueleza kuwa atasafiri hadi maeneo ya Magharibi mbali na kwao Nakuru.

"Venye nilikuja nyumbani network ya simu ilipotea na nyumbani hakuna kadi za simu kwani hatungeweza kuwasiliana na mume wangu.

Sasa baada ya wiki moja nilimpigia mume wangu lakini hakushika simu, hapo akanitumia ujumbe akiuliza mbona sikuwasiliana naye mda huo wote na hapo tukajibizana." Alijieleza akidai kuwa mumewe Eric yuko Nakuru.

Wawili hao wana mtoto mmoja wa miaka minne na wameishi pamoja kwa miaka mitano.

"Msamaha nilimpa kitambo lakini nilimuambia anipe mda kidogo nitulie. Unajua wakati mwingine inafaa uketi uanze kufikiria maisha yako kwani kila mara ni kununa tu kwa nyumba, na mwenyewe anajua." Alijieleza bwana Eric.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved