logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kweli pombe si supu!Jamaa mmoja anyofua sehemu za siri baada ya kulewa

Kweli pombe si supu!Jamaa mmoja anyofua sehemu za siri baada ya kulewa

image
na

Dakia-udaku02 October 2020 - 03:37
cut2520banana.e1570095626353.696x446

Ya dunia ni Mengi kweli.

Mwanaume mmoja kutoka kijiji cha Kamahuha kaunti ya Murang'a aliwaamsha majirani kwa kupiga mayowe baada ya kuamka na kupata uume wake umekatwa.

  

Kulingana na ripoti, inasemekana kuwa mwanaume huyu alikuwa ameenda kujiburudisha kwa kunywa pombe na rafiki zake kisha wakamkata uume wake.

Jamaa, Mickson akizungumza na vyombo vya habari alisema kuwa, mhusika, jina lake Moses Wanyoike aliamka na kupata hana sehemu yake ya siri.

Zaidi yayo, inasemekana kuwa, huenda aliyemkata sehemu zake alizikula pia.

“THE DUDE IS CALLED MOSES WANYOIKE, HE WAS SAID, HE WOKE UP AND FOUND HIS PRIVATES MISSING WHEN WE BROUGHT HIM TO HOSPITAL, WE SAW HE HAS NOTHING EVEN HIS BALLS AND SECTIONS OF HIS HANDS HAVE BEEN CUT AND IT WAS SAID EARLIER REPORTED THAT THE PERPETRATOR MAY HAVE EATEN SOME OF HIS BODY PARTS.''Mickson alisema.

MCA wa Kamahuha bwana James Karanja ndiye aliye mkimbiza Moses hospitalini.

Mheshimiwa huyu, alipigiwa simu na kuambiwa kuwa kuna jamaa mmoja katika kitongoji chake amekatwa sehemu za siri na papo hapo akachukua gari lake na kuenda kwenye kituo cha polisi kupiga ripoti.

“I was called and told that a man in my ward has been bobbited and I took my car and went to the house, we went to the police and reported the matter.”James Karanja alisema.

Zaidi ya hayo, MCA Karanja alizidi kusema kuwa mmoja wa wanaume waliolala na mhusika amekamatwa na polisi.

“ONE OF THE THREE MEN WHO HAD SLEPT WITH HIM WAS ARRESTED.'' alisema.

Mhusika,Bwana Moses Wanyoike alimwambia bwana Karanja kuwa, alikuwa ameenda kupiga mtindi na rafiki zake na baadaye wakaenda nyumbni kwake na kutoka wakati huo haelewi ni nini kilichotendeka.

Kwa sasa, mhusika huyu amelazwa kwenye hospitali ya Murang'a huku wanakijiji wakijaribu kutafuta sehemu mbali mbali za jamaa huyu na kuhakikisha kuwa zimeregeshwa mwilini.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved