logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Huu haukuwa uamuzi rahisi wa kufanya,'Terryanne Chebet ahama runinga ya Metropol

'Huu haukuwa uamuzi rahisi wa kufanya,'Terryanne Chebet ahama runinga ya Metropol

image
na

Dakia-udaku02 October 2020 - 08:49
Mwanahabari tajika Terryanne Chebet ametangaza uamuzi wake wa kutoka kwenye runinga ya Metropol, ambapo amefanya kazi kwa mwaka mmoja na miezi mitatu.

Chebet ameamua kuacha kazi ya uanahabari na kuzingatia bidii yake kwenye biashara yake, kupitia kwenye mitandao ya kijamii Chebet alikuwa na haya ya kusema,

“Today I say goodbye to my incredible team at . What an incredible journey it’s been! You have taught me the real definition of being a leader and what teamwork is. This wasn’t an easy decision to make, especially because of your dedication and commitment to getting the job done. Our commitment to telling the stories of mama Mboga’s, SME’s and startups has inspired me greatly and I will take this to my next journey.

I deeply appreciate you all for your viewership, criticism and suggestions that helped us build the first 24 hour Business News Channel in Kenya. As I now embark on my personal journey of entrepreneurship with hope you will ride this journey with me. Love and Light." Alizungumza Chebet.

Mwanahabari huyo alijiunga na runinga hiyo mwaka jana machi baada ya kutoka katika runinga ya Fanaka alipokuwa mkurugenzi mkuu.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved