logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Usalama waimarishwa mjini Mombasa

Usalama waimarishwa mjini Mombasa

image
na

Makala01 October 2020 - 12:55
Maafisa wa polisi wametumwa kulinda doria katika maeneo ya makanisa mjini Mombasa kufuatia tishio la ugaidi pwani ya Kenya. Maafisa hao wanajumusiha maafisa wa CID na polisi wa utawala.

Askofu wa kanisa la Kiangilikana Julisu Kalu pia ametoa wito kwa waumini katika sehemu za kuabudia kuwa macho na kupiga ripoti kwa maafisa hao kuhusu chochote wanachohisi kitatishia usalama wao.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved