logo

NOW ON AIR

Listen in Live

ROGUE BLOGGER:Mwanablogu Cyprian Nyakundi akamatwa kwa hila ya kupunja shilingi Milioni 17 kutumia vitisho

ROGUE BLOGGER:Mwanablogu Cyprian Nyakundi akamatwa kwa hila ya kupunja shilingi Milioni 17 kutumia vitisho

image
na

Habari02 October 2020 - 10:06
nYAKUNDI
 Makachero wamemkamata mwanablogu Cyprian Nyakundi na mshukiwa mwingine  Emmanuel Nyamweya Ong'era  kwa njama ya kutaka kupokea shilingi milioni 17   ili kuondoa chapisho la mtandaoni la kumharibia mtu jina .

Wawili hao tayari walikuwa wameshapokea shilingi milioni 1 kama sehemu ya malipo hayo .

https://twitter.com/DCI_Kenya/status/1219238606184894464

Inadaiwa wawili hao waliitisha kiasi hicho cha pesa kama  sharti la kuondoa chapisho hilo kutoka kwa blogu inayomilikiwa na Nyakundi . wawili hao watazuiliwa na polisi hadi Jumanne tarehe 21 watakapofikishwa kortini . Pesa hizo pia zilipatikana  na zitatumiwa kama ushahidi .

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved