logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Moyo wangu huwa wanisaliti kila mara sijapendwa na familia,'Akothee asimulia

'Moyo wangu huwa wanisaliti kila mara sijapendwa na familia,'Akothee asimulia

image
na

Burudani01 October 2020 - 11:11
Msanii Esther Akoth almaarufu Akothee amefunguka na kuweka mambo wazi kuhusu yanayotokea katika maisha yake hasa alipoacha kusaidia familia yake au kutatua shida yeyote.

Kulingana na mama huyo wa watoto tano, alisema kuwa ana mambo mengi katika maisha yake na na aliacha kusaidia familia yake na pesa au kulioa gharama ya chocote.

"Mimi ni mama na nitazidi kuwa mama, moyo wangu hunisaliti kila mara kutoka kwa pembe moja hadi nyingine, nina mambo mengi ya kufanya katika maisha yangu hasa kulipa gharama, iwe ni mama yangu, baba yangu au babu zangu
"Tangu niache kupea familia yangu pesa na kuhudhuria shida zao ingawa huwa na tatua shida za familia yangu wazazi na babu zangu sijaweza kupendwa

Wazazi wangu hawafahamu chochote kuhusu mali yangu ata nikifa leo hawana fikra zozote nani yuko katika wasia wangu, ni wageni nyumbani kwangu

Na heshimu na napenda familia yangu na cha muhimu na kuwaweka pamoja ni kuwapenda kwa umbali kwa maana sina la kufanya nilikuwa hospitalini kwa wiki mbili sikuona jamaa yeyote mbali na watoto wangu, mashabiki, wafanyakazi wangu na kampuni ya bima

Hili ni jambo la mtu mwenye akili kufahamu mapema, lakini nilijua marafiki wangu wa karibu wacha nirudi nikapigane na jirani yangu kwa ajili ya shamba

Nitahotubia taifa alhamisi, stay calm and God Bless."

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved