logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mambo unayostahili kufahamu kuhusu ngono kabla ya kuingia katika uhusiano

Kuna wale huingia katika uhusiano ili kutimiza hitaji lao la ngono, huku wengine wakitafuta mapenzi ya kweli.

image
na Radio Jambo

Habari15 March 2021 - 09:25

Muhtasari


  • Mambo unayostahili kufahamu kuhusu ngono kabla ya kuingia katika uhusiano
  • Kuna wale huingia katika uhusiano ili kutimiza hitaji lao la ngono, huku wengine wakitafuta mapenzi ya kweli

Karne hii ya sasa si kama wakati wa akina babu zetu ambapo walitambua uhusiano wa kimapenzi na hata kuthamini wenzao.

Kuna wale huingia katika uhusiano ili kutimiza hitaji lao la ngono, huku wengine wakitafuta mapenzi ya kweli.

Katika makala haya nitaorodhesha mambo ambapo watu wanapaswa kufahamu kuhusu ngono kabla ya kujihusisha katika uhusiano wowote  wa kimapenzi.

 

1.Ruhusa ni kila kitu

Kama unataka kufanya tendo la ndoa haya basi itisha mpenzi wako ruhusa, kama amesema la, jua ni la na wala husijilazimishe kufanya tendo hilo kama hutaki kuachwa mara moja.

2.Hupaswi kuwa katika uhusiano ili ufanye ngono

Watu wana maono tofauti kuhusu ngono, na ata kuna wale hufuata tamaduni zao kuhusu ngono, kuna wale wanataka tu kufanya tendo la ndoa na kuacha mpenzi wake kwa maana haampendi.

3.Uchumba sio sawa na ngono

Uhusiano wa kimapenzi sio sawa na ngono,kabla ya kuanza uhusiano wa kimapenzi uliza mpenzi wako kama yuko tayari kufanya ngono mkiendelea na uhusiano wenu.

4.Wanawake kwanza

 

Kabla ya kufanya jambo lolote muweke mwanamke wako kwanza kuhusu ngono, na kuzingatia uamuzi wake.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved