logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wafahamu watu waliochangia mafanikio ya Harmonize

Harmonize alianza kupata umaarufu baada ya kukutana na Diamond mwaka wa 2015.

image
na Radio Jambo

Habari08 December 2022 - 04:33

Muhtasari


•Watu kadhaa wakiwemo Choppa Tz, mke wake wa zamani Sarah Michelloti, Jose wa Mipango, Jabulant na Kajala Masanja wamechangia katika kujenga Kondegang.

Staa wa Bongo Harmonize alianza kupata umaarufu baada ya kukutana na Diamond Platnumz na kusainiwa katika WCB Wasafi mwaka 2015.

Wawili hao hata hivyo walikosana na kukatiza uhusiano wao mwaka wa 2018 na baadaye Harmonize akaanzisha lebo yake ya Konde Music Worldwide. Watu kadhaa wakiwemo Choppa Tz, mke wake wa zamani Sarah Michelloti, Jose wa Mipango, Jabulant na Kajala Masanja wamechangia katika kujenga Kondegang.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved