logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwizi Arejesha Pikiiki Baada Ya Kulemewa Na Nguvu Za Mganga

Mwizi Arejesha Pikiiki Baada Ya Kulemewa Na Nguvu Za Mganga

image
na

Habari01 October 2020 - 13:27

picha: the-star.co.ke

Wenyeji wa mtaa wa Elgon, katika barabara ya Kisumu-Kibos walishuhudia kisa ambacho si cha kawaida wakati jamaa mmoja anayedaiwa kuwa mwizi wa pikipiki kujitokeza na kurejesha pikipiki aliyokua ameiba huku akiwa uchi wa mnyama.

Inadaiwa kuwa jamaa huyo alilazimika kufanya hivyo baada ya kuzidiwa na nguvu za mganga aliyeitwa kumtafuta mwizi wa pikipiki hiyo.

Kulingana na walioshuhudia tukio hilo, pikipiki hiyo iliibwa kutoka eneo la Obunga baada ya siku kadhaa bila kuona pikipiki yake, mwenyewe aliamua kutafuta usaidizi kutoka kwa mganga.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved