logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hamna Kupiga Picha Wala Kuchukua Video Wakati Wa Ibada Ya Wafu Ya Balozi Bethwel Kiplagat

Hamna Kupiga Picha Wala Kuchukua Video Wakati Wa Ibada Ya Wafu Ya Balozi Bethwel Kiplagat

image
na

Habari01 October 2020 - 18:38
Ibada ya wafu wa aliyekua mwenyekiti wa tume ya TJRC balozi Bethuel Kiplagat inafanyika leo katika kanisa la St Marks mtaani Westlands kuanzia saa nne.

Hata hivyo jamii yake imetaka kuwepo kwa usiri wakati huu mgumu kwao na hivyo basi hawataki watu kupiga picha wala kuchukua video wakati wa ibada hiyo.

Hata hivyo matukio ya ibada hiyo hictoria na picha za marehemu zitasambazwa kwa vyombo vya habari baada ya kukamilika kwa ibada hiyo.

Marehemu alikua mwenyekiyi wa TJRC na aliga dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved