logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO: Sirudi Kuishi Naye Hadi Alipe TV na Sub woofer Yangu!

PATANISHO: Sirudi Kuishi Naye Hadi Alipe TV na Sub woofer Yangu!

image
na

Grafiki01 October 2020 - 19:14
Jafred aliomba apatanishwe na mkwe Rose ambaye walikosana mnamo 6/8/2017.

"Huyo mwanamke tulianza tu na urafiki mjini Kisumu hadi tukaamua kuishi pamoja. Tulipooana akalazimisha kujuana na mke wangu wa kwanza aliyekuwa mjini Bungoma.

Sasa siku moja maneno yakatokea na tukabishana sana sasa tulikuwa tunasukumana na hapo nikavunja televisheni na redio kwa nyumba yake." Alijieleza bwana Jafred.

"Tulikuwa tunakosana na yeye akaanza kuharibu vitu za nyumba kwani alikuwa amekasirishwa na mimi kwenda matanga. Sasa aliharibu hizo vitu jumapili usiku kisha jumatatu akaondoka na kwelekea nyumbani kwake na hapo nikakasirika sana." Alijieleza mama Quinta alipopigiwa simu huku akisisitiza kuwa lazima bwana Jafred amlipe mali yake kabla wawili hao kurudiana.

Wawili hao wameisha kwa ndoa ya miaka mitano.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved