logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jinsi wakenya walivyo wakandamiza watanzania baada ya ushindi wa Harambee Stars

Jinsi wakenya walivyo wakandamiza watanzania baada ya ushindi wa Harambee Stars

image
na

Michezo02 October 2020 - 02:12
magufuli uhuru
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii haswaa Twitter waliwakandamiza majirani wao wa Tanzania baada ya Harambee Stars kuitandika Taifa Stars, mabao 3-2.

Kenya walitoka nyuma mara mbili na kuwapa Tanzania kipigo ambacho kiliwaacha chini ya kundi C na basi kuzima matumaini yao ya kufuzu katika raundi 16 bora.

Wakenya ambao kabla ya mechi hii walikuwa tayari wamewapa maneno majirano wao, hawakuchelewa pindi tu Michael Olunga alifunga bao la tatu na la ushindi, kwani walitumia kila namna, kila picha na video kuwashambulia mtandaoni.

Huku wakishambulia nyimbo zao za Bongo, wengine waliwakumbusha kuwa hakuna siku ambayo watashinda michuano yoyote dhidi yetu.

Ifuatayo ni mifano ya mashambulizi ambayo watanzania walipokea.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved