Mtu huyo aliyevalia kama mkombozi wa wayahudi kwenye bibilia takatifu ,anasemekana kuwa ni 'Yesu' aliyerejea ulimwenguni.
One Pastor in Satafrika called Jesus to visit his church in person 😂😂😂
Religion is overrated I keep telling .
— Fine Boy Kera 🇺🇬🇷🇼 (@legendary_qt_)
'Yesu' huyo alikuwa kwenye msururu wa waumini wakielekea kanisani huku wakiimba ngoma za Kumsifu Mungu. Jambo hili limepelekea watu wengi kulichekelea taifa la Afrika Kusini kwani wengi wanamfikiria mtu huyo kuwa ni tapeli tu aliyejifunika na ngozi ya kondoo lakini mle ndani ni mbwa mwitu.
Bwana Yesu anatarajiwa kurejea Dunia wakati wowote ila hakuna ajuaye ni lini ama ni wapi atakapoanzia ziara yake ya kuwachukua wanakondoo wake.
