logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Upendo ni wa kweli Uganda nashukuru,' Diamond Platinumz asema

'Upendo ni wa kweli Uganda nashukuru,' Diamond Platinumz asema

image
na

Habari02 October 2020 - 02:45
Mwimbaji Diamond Platnumz alivutia umati mkubwa katika onyesho lililofanyika siku ya Ijumaa usiku katika mji mkuu wa Uganda, Kampala.

Diamond amekuwa nchini Uganda tangu siku ya Jumatano hadi Ijumaa, alipo utumbuiza umati mkubwa na nyimbo zake.

Diamond alichapisha kwenye mitandao ya kijamii alivyokuwa kuwa na furaha kwa upendo alioupokea kutoka Waganda akisema hakuwa anatarajia hayo kwani mpenziwe wa hapo zamani Zari ni mzaliwa wa Uganda.

Maonyesho ya Ijumaa yalikuwa ya kwanza kwa Diamond nchini Uganda tangu alipoachana na Zari mnamo Februari mwaka jana.

Soma mengi

https://www.instagram.com/p/B0alULwnOFs/


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved