logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+Picha) Jacque Maribe na Letoo Road House, bata batani

(+Picha) Jacque Maribe na Letoo Road House, bata batani

image
na

Habari02 October 2020 - 10:32
Aliyekuwa mtangazaji wa runinga ya Citizen Jacque Maribe yupo freshi baada ya kutemana na kituo hiki.

Mama huyu wa mtoto mmoja aliitema runinga hii miezi michache iliyopita.

Hata hivyo Maribe ameonekana mara kwa mara kwa sehemu za burudani.

Juzi kati akitokea katika klabu cha 1824 ambapo alikuwa ametokea kama mgeni.

Soma hadithi nyingine:

Jana alionekana kwa ukaribu zaidi katika sehemu ya burudani inayoitwa Road House karibu na Kilimani.

Maribe alikuwa ameandamana na marafiki wake akiwemo ripota wa kituo cha Citizen Stephen Letoo.

Wawili hawa wana urafiki wa karibu sana na baadae Letoo akachapisha ujumbe mtamu zaidi kwake.

"Kla rafiki anawakilisha sehemu kubwa kwetu kiasi cha ulimwengu mzima. Ulimwengu na ambao haujazaliwa mpaka wafike. Na ni katika mkutano huu ambapo ulimwengu mpya unazaliwa..."

Soma hadithi nyingine:

Letoo ni kati ya marafiki waliosimama kidete na Maribe baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kuhusika mauaji ya Monica Kimani.

Baadaye aliachiliwa kwa dhamana na aliyekuwa mpenzi wake Jowie.

Jina lanyota huyu lilipakwa tope na madai ya kuhusika katika mauaji ya mfanyabiashara Monica Kimani.

Maribe alisaini kumaliza mkataba wake na runinga ya Citizen kile alichokitaja kama “sababu za kibinafsi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved