logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jamaa aliyekula sehemu za siri za mnyama atiwa nguvuni

Jamaa aliyekula sehemu za siri za mnyama atiwa nguvuni

image
na

Michezo02 October 2020 - 03:51

Polisi nchini India wamepongezwa kwa hatua ya kumkamata mwindaji ambaye wanasema amekuwa akiwauwa dubu na kula sehemu zao za siri, huku hatua ya kukamatwa kwake ikitajwa kama ''Ukamataji muhimu sana".

Mwanaume huyo, anayefahamika kama Yarlen, amekuwa akisakwa kwa miaka kadhaa.

Maafisa walifahamishwa kwa mara ya kwanza walipobaini mizoga kadhaa ya dubu ambayo haikuwa na sehemu za siri katika mbuga za wanyama.

Pardhi-Behelia ambaye anatoka katika jamii ya watu wanaohamahama ni mmoja ya watu wanaoamini kuwa shemu za siri za kiume za wanyama zinaongeza nguvu za kiume, alisema Ritesh Sirothia afisa katika Idara ya msitu wa Madhya Pradesh.

Polisi nchini India imepongezwa kwa hatua ya kumkamata mwindaji ambaye wanasema amekuwa akiwauwa dubu na kula sehemu zao za siri, huku hatua ya kukamatwa kwake ikitajwa kama ''Ukamataji muhimu sana".

Mwanaume huyo, anayefahamika kama Yarlen, amekuwa akisakwa kwa miaka kadhaa.

Maafisa walifahamishwa kwa mara ya kwanza walipobaini mizoga kadhaa ya dubu ambayo haikuwa na sehemu za siri katika mbuga za wanyama.

Pardhi-Behelia ambaye anatoka katika jamii ya watu wanaohamahama ni mmoja ya watu wanaoamini kuwa shemu za siri za kiume za wanyama zinaongeza nguvu za kiume, alisema Ritesh Sirothia afisa katika Idara ya msitu wa Madhya Pradesh.

Soma zaidi


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved