logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Uhuru ashambulia idara ya mahakama

Uhuru ashambulia idara ya mahakama

image
na

Habari02 October 2020 - 03:59
UHURU KENYATTA
Rais Uhuru Kenyatta amekosoa idara ya mahakama, siku moja tu baada ya Jaji Mkuu David Maraga kuishtumu serikali kwa kuidhalilisha idara ya mahakama.

Maraga siku ya Jumatu alisema kwamba atabagua hafla za serikali ambazo atahudhuria hadi pale atakapoanza kupewa heshima inayofaa wadhifa wake.

Lakini akizungumza siku ya Jumanne mjini Nairobi, Uhuru aliambia idara ya mahakama ishugulikiye kesi kwa hara ‘ikiwa inataka’

"Natoa wito kwa mahakama, wakihisi kufanya hivyo, kufanya jitihada kukamilisha kesi zinazohusisha ulipaji ushuru bila mapendeleo," alisema akicheka..

Maraga aliyekuwa amejawa na gadhabu siku ya Jumatatu aliambia mkutano wa wanahabari mbele ya majengo ya mahakama ya upeo kuwepo kwa njama ya serikali kumuondoa ofisini kabla ya mwisho wa mwaka huu.

“Baadhi ya mawari wanasema kwamba nitapigwa kalamu balaya mwisho wa mwaka huu. Kumbe hii Kenya ina wenyewe (apparently Kenya has its owners)?" Maraga alisema.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved