logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tunayaona ya Firauni kweli! Bi Harusi aenda harusini na jeneza

Tunayaona ya Firauni kweli! Bi Harusi aenda harusini na jeneza

image
na

Habari02 October 2020 - 04:17
Ama kwa hakika, ni wazi kuwa wahenga wa kale hawakuwa wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa waliposema, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.

Wapenzi wawili waliokuwa wakifunga pingu za maisha waliwashangaza wengi sana pindi bibi harusi alipoenda harusini na jeneza.

Binti huyu alifika kule na jeneza la rangi nyeupe likafunguliwa na mwanamume asiyejulikana na bi harusi huyu kutokea.

Video hii iliwekwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter na wengi waliorodhesha maoni yao kwa mshangao.

– Bride arrives her wedding in a coffin.

— Postsubman (@Postsubman) 

MAAZI ‘LyonS 🦁👑 At a point, I expected thunder to strike her so she could be dead for real. This is sick

R∀GNAR❍K “Till death do us part” ???Nah. “Even in death, we parteth not”

MRMAN 🔊 It’s a lie, I am done . I no marry again ooo

J Cole’s birthday mate😁 And they re screaming and clapping 🤦

Alhaji kez Mad

Ira She just put “over my dead body will I marry him ” into actions

Screenshot
Screenshot

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved