logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+ Picha ) Maria, sura ya muigizaji anayekosesha wengi usingizi Citizen TV

(+ Picha ) Maria, sura ya muigizaji anayekosesha wengi usingizi Citizen TV

image
na

Habari02 October 2020 - 04:18
Screenshot_from_2019_12_02_08_24_02__1575296984_58762
Maria ni kipindi na ambacho kinavutia wengi zaidi kinachoruka kupitia runinga ya Citizen.

Msururu wa vipindi fupi vya kipindi hiki huwa vinapeperushwa kila siku za wiki kutoka Jumatatu hadi Ijuma inapogonga saa moja unsu jioni.

Waigizaji katika kipindi hiki ni kama Yasmin Said almaarufu kama Maria ambaye ni mrembo kweli.

Maria huigiza kama mtu mpole na ambaye ana matamanio ya kwenda mbali kimaisha.

Huwa pia anaigiza kama limbukeni ambaye hajasoma sana.

Msururu wa kipindi hiki ulianza kipindi na ambapo alikuwa akiishi katika maeneo ya mabanda viunga vya jiji la Nairobi na baadaye akahamia katika mijengo ya kitajiri.

Brian Ogana almaarufu kama Luwi huigiza kama mtoto aliyekulia katika mazingira ya kitajiri na huwa anamtaka amuoe.

Tazama picha za Maria:


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved