logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mapenzi ya mtoto: Ali Kiba na mkewe waungana kusherehekea mwanao

Mapenzi ya mtoto: Ali Kiba na mkewe waungana kusherehekea mwanao

image
na

Burudani02 October 2020 - 04:40

Ali Kiba alifungua mwaka mpya na baraka tele kwa kupata nafasi ya kuwa na mwanawe. Isisahaulike kuwa Kiba alikuwa na mwaka wenye misukosuko wa 2019 huku yeye na mkewe wakiwa na masaibu chungu nzima.

Lakini kabla ya mwaka kukamilika, mambo yalimwendea vyema baada ya kusameheana na kurudiana na mpenziwe kabla ya wawili hao kuungana na kuzima ugomvi uliowahusu.

And boy was the gossip nasty. The rumour was that the fight between Ali Kiba and his wife were due to the fact that his family; his mothers and sisters were an ever-present spectre that loomed large over his marriage.

Uvumi ulionezwa ni kuwa kulikuwa na mapambano kati ya Ali Kiba na mkewe ni kuwa familia yake; mama yake na dada zake waliingilia sana ndoa yao jambo ambalo lilileta tatizo kwa ndoa yao.

Basi tizama picha za wanandoa hawa wawili wakicheza na mwanao:

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved