logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha ya siku: Familia ya Lulu Hassan na Rashid yapendeza wengi

Picha ya siku: Familia ya Lulu Hassan na Rashid yapendeza wengi

image
na

Habari02 October 2020 - 10:08
familia ya lulu hassan na rashid abdalla
Sio mara nyingi wanandoa na wanahabari Lulu Hassan na Rashid Abdalla huchapisha picha ya familia yao nzima katika mtandao wa kijamii.

Mara kwa mara wao huchapisha picha za wanao wakti tu wanaposherehekea siku zao za kuzaliwa au labda wakiwa katika pilkapilka za wikendi. Hata hivyo, hii leo Lulu Hassan alichapisha picha ya wanao wote watatu, ambao ni vijana watanashati.

Hassan aliandika,

Good Morning from the Mwajita's😘😘😘😘😘

Picha hiyo iliwafurahisha mashabiki wengi huku wakisifia urembo wa familia nzima.

Soma baadhi ya ujumbe wao;

Kate Actress: Beautiful family 🙏🏿

David: Mko sawa sana, karibuni arusha.

Mau: My people😘😘😘😘😘😘😘 I miss you

Cindy Milian: Adorable family

Keah: Morning 2, u guys are looking gr8 🔥

JepKor: Mnafanana na first born,lovely family

Tazama picha hiyo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved