logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nikiskia jina Tanasha ,najua ni baby mama asema Willy Paul

Nikiskia jina Tanasha ,najua ni baby mama asema Willy Paul

image
na

Habari02 October 2020 - 05:39
NA NICKSON TOSI

Mwanamziki Willy Paul ameibua hisia mseto miongoni mwa mashabiki katika mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba akiskia jina Tanasha kinachomjia akilini mwake ni kuwa yeye ni Baby mama.

Willy alisema haya akiwa katika mahojiano na stesheni moja ya humu alipoulizwa swali kuhusiana na msanii huyo wa Kenya aliyekuwa na uhusiano na Diamond kabla ya kutengana.

'Mimi nikiskia jina, Tanasha', najua ni baby mama aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond na baadaye wakaachana. Ni hayo tu ninayofahamu kuhusiana na msanii huyo,' alisema willy.

Mimi nimeoa mpenzi wangu wa muda, anatoka taifa la Jamaica na tumeamua kuanzisha familia yetu mimi na yeye baada ya kuchumbiana kwa muda. Alisema Pooze.

Usemi wake kuhusiana na Tanasha aidha uliibua hisia kubwa mtandaoni wengi wakimtaja kama msanii anayependa kuhanya hanya na matendo yake yasioambatana na dini.

Maajuzi willy amekiri atatoa wimbo na chipukizi mtindo wa kufoka nchini maarufu kama gengetone, hatua iliyowafanaya wasanii katika sekta ya miziki ya injili kumsomea kwa kile walisema ni kunajisi nyimbo za kumtukuza Mungu kwa lengo la kujipatia mihela.

Baadhi ya wafwasi wake walisema hayo.

 apo kwa Tanasha 🔥🔥🤣🤣🤣

 🤣🤣🤣huyu ni diamond mdogo

 😂😂 woii ya Ringtone


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved