logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Diamond Platnumz ajiweka katika ‘karantini’ baada ya maneja wake SK Mendez kupatwa na virusi vya Corona

Diamond Platnumz ajiweka katika ‘karantini’ baada ya maneja wake SK Mendez kupatwa na virusi vya Corona

image
na

Habari02 October 2020 - 09:41
Maneja wa mwanamuziki wa Bongo Diamond Platnumz Sallam SK Mendez  alipatikana na virusi vya Corona ,kulingana na ujumbe wenye hisoa aliotuma mtandaoni .

Akitoa tangazo hilo katika ukurasa wake wa instagram SK alisema amejitenga ili kupeuka kuusambaza ugonjwa huo . Imethibitishw akwamba baada ya tukio hilo Diamond ameamua kuchukua hatua ya tahadhari kwa kujitenga

Msanii mwingine wa  Bongo Mwana FA pia amesema kwamba amepatikana na virusi hivyo lakini yuko katika hali nzuri


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved