logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Funny Kenyan meme ambazo zitakuacha kama umevunjika mbavu. Tazama lakini cheka pole pole

Funny Kenyan meme ambazo zitakuacha kama umevunjika mbavu. Tazama lakini cheka pole pole

image
na

Burudani02 October 2020 - 09:36
NA NICKSON TOSI

Ubunifu wa kutengeneza  vibonzo ama meme nchini unatazamiwa kubuni nafasi za ajira kwa idadi kubwa ya vijana ambao hawana kazi nchini.

Hapa ni baadhi tu ya meme ambazo wakenya wamekuwav wakitengeneza ikiwa ni kama njia ya kufupisha uandishi wa maneno wakati wa mawasiliano. Tazama japo ukicheka cheka kiustaarabu.

Meme hutumika kuzungumzia kila aina ya gumzo mtaani hata kama hukudhamiria kupasua kicheko unajipata umeachilia kicheko cha ujinga.

Meme hutumiwa zaidi katika mitandao kama vile WhatsApp, Facebook na Instagram.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved