logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mtoto wa Diana! Bahati afanyiwa kejeli baada ya video yake akidensi na mkewe Diana Marua

Mtoto wa Diana! Bahati afanyiwa kejeli baada ya video yake akidensi na mkewe Diana Marua

image
na

Habari02 October 2020 - 06:34
Msanii Bahati amejua sana kujiwekea mtego na wiki hii amekula vijembe kwa njia ya kikatili mtandaoni .

Msanii huyo amefanyiwa masimango na kejeli baada ya  rapa  Khaligraph Jones kutoa wimbo wake ambao ulimtaja Bahati kama ‘Mtoto wa Diana’ .

Bahati alijaribu kuteka   mawimbi ya wimbo huo kwa kutoa picha iliyomuonyesha akiwa amebebwa na Diana na hivyo kweli alifaulu kupepezea chini kejeli ambazo zingemfuata. Lakini alipoamua kuvalia kama mwanamke na kushiriki shindano la Tik tok na Diana, Bahati alifungua bomba kubwa la kufanyiwa mzaha na  huenda hakutarajia mlipuko wa hisia kama hizo

Haya hapa baadhi ya maoni ya wanamitandao

namelesskenya Woiiii…bhangi hiyo haikuwa imekauka vizuri… ‍♂️‍♂️

jalangoo Umechizi

djjoemfalme Bro nilishakushow. Turudi EMB buda….Ama nikustaki kwa @akotheekenya. Hii energy turudishe kwa kazi

akotheekenya Nitahama hii Kenya haki

clemmo25 Corona itatuonyesha mengi!!

gabu_bugubugu Umama umekuingia sasa. Happy mothersday

mzaziwillytuva Mwezi wa mfungo umeanza  Tuzidishe #Maombi

dansonko Vitu kama hizi ndio zimefanya tuongezewe 21 days zingine aki!

wesleytheedj Uko sawa buda?

weezdom254 Unakaa tule tudem hukula fare

yycomedian Halafu unapata tu kuna mwanaume wa Cameroon atanyonga na hii video bila kujua ni ndume…

felistarbrigita   mtoto wa dayana sasa utakuwa mama dayana

munju_ree bahati umeanza umama

goldshine___ Vipe tena bahat ushakuwa dulla makabila


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved