logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wachezaji wa ligi kuu Uingereza kuvalia maski wakiwa mazoezini

Wachezaji wa ligi kuu Uingereza kuvalia maski wakiwa mazoezini

image
na

Habari02 October 2020 - 09:25
skysports-gremio-face-mask_4948379
NA NICKSON TOSI

Wachezaji wanaoshiriki ligi kuu ya Uingereza watalazimika kuvalia maski wakiwa mazoezini kutokana na sheria mpya zilizoafikiwa na uonmgozi wa ligi hiyo wakati ambapo wanapania kurejelea mechi ambazo zilikuwa zimesalia,jarida la Daily Mail limeripoti.

Aidha sheria hiyo mpya itaangaziwa pakubwa katika mkutano wa vilabu hiyo kesho.

Mapendekezo hayo yamebuniwa na mkurugenzi wa michezo ligi kuu ya Uingereza Richard Garlick japo kurejea kwa mazoezi na wachezaji kutafanyika tu iwapo serikali itakubali.

Miongoni mwa masharti mengine yanayopendekezwa ni wachezaji kufanyiwa vipimo na maafisa wengine saa  48 kabla ya kurejelea mazeozi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved