logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Katoto hodari! Tazama picha za mpenziwe mwanahabari Stephen Letoo

Katoto hodari! Tazama picha za mpenziwe mwanahabari Stephen Letoo

image
na

Habari02 October 2020 - 06:56
Wengi wanamfahamu mwanahabari Stephen Letoo kwa weledi wake katika kuripoti habari kwa runinga. Letoo amekuwa akidhihirisha mapenzi yake kwa barafu yake ya roho na ni wazi kwamba mahaba kati ya wapenzi hao wawili yamenoga na kumezewa mate na wengi.

Kupitia mitandao ya kijamii, letoo amekuwa akimuonyesha mkewe Santino Leiyan mapenzi tele.

Tazama picha za mkewe Letoo;

Katika maadhimisho ya siku ya kina mama alimwandikia mkewe ujumbe wa mahaba;

"WHEN I LOOK AT YOU.. I LOOK AT THE PUREST LOVE I WILL EVER KNOW…HAPPY MOMS DAY BABE❤." Letoo Aliandika.

Mapenzi kweli ni kikohozi ukizuia chozi la huba litakusaliti.

MHARIRI: DAVIS OJIAMBO


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved