logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wana-reggae Mpo! Wapenzi wa reggae waadhimisha maisha ya Bob Marley

Wana-reggae Mpo! Wapenzi wa reggae waadhimisha maisha ya Bob Marley

image
na

Habari02 October 2020 - 09:20
EXtLTauXQAAAVAa
NA NICKSON TOSI

Siku kama ya leo mwaka 1981 ulimwengu uligutushwa na taarifa za kifo cha msanii wa nyimbo za reggae Bob Marley aliyefariki akiwa na miaka 36.

Marley alifariki kutokana na ugonjwa wa saratani .

Mwaka 1999 wimbo wake wa ONE LOVE ulitajwa kama wimbo wa karne huku albamu yake ya EXODUS ikitajwa kama albamu ya karne ya 20.

Je wimbo upi wa gwiji huyo unaouenzi zaidi?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved